Posts

Showing posts from December, 2023

NDUGU ABASI MTEMVU ACHANGISHA HARAAMBEE MAALUM KATIKA KANISA LA WAADVENTISTA

Image
Na Mwandishi Wetu,DmNewsOnline  MWENYEKITI  wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam  Abas Zuberi Mtemvu na MNEC  wa CCM  Mkoa  Juma Simba Gadafi Pamoja na Mwenyekiti wa Ccm Wilaya ya Kinondoni Shaweji Mkumbura wamehudhuria Ibada ya Kanisa la Adentista wa Sabato Yombo Dovya Wilaya ya Temeke. Katika ibada hiyo M/kiti wa Ccm Mkoa  Abas Zuberi Mtemvu Amealikwa ili Kanisa hapo kwa Lengo la Kufanya Haraambee Maalum ya Kuchangia Ujenzi wa Kanisa hilo Pamoja na Vifaa vya Kisasa Kwaajili ya Kwaya Katika hapo. Kupitia haraambee hiyo Mwenyekiti aliifanikiwa Kuchangisha fedha taslim Shilingi Milioni 11,000,000 na  ahadi Shilingi 9,000,000 Viongozi wa Kanisa la Waadventista wa Sabado Dovya Wamemshukuru  Abas Mtemvu kwa Kuwa na Moyo wa Kujitolea Pamoja na Kukubali Mualiko wa Kuwa Mgeni Rasmi Katika haraambee hiyo.

Emirates Dominance at 2023 World Travel Awards Sets New Industry Benchmarks.

Image
Emirates, the renowned aviation giant, continues to solidify its global supremacy, clinching an impressive five prestigious accolades at the esteemed 2023 World Travel Awards Grand Final. The airline’s victories across multiple categories, from inflight entertainment to brand excellence, reaffirm Emirates’ unwavering commitment to elevating the travel experience for its customers. In a remarkable feat, Emirates secured the coveted title of World’s Leading Airline for the Middle East for the third consecutive year, alongside accolades for Leading Airline Inflight Entertainment, Leading Airline Brand, and Leading First Class. The airline’s loyalty program, Emirates Skywards, also claimed its dominance as the World’s Leading Rewards Programme, marking an astonishing 10 wins out of 12 ceremonies. Investing in Unmatched Customer Experience: Emirates’ ethos, that travel transcends beyond mere destinations, underscores the airline’s ongoing investments in enriching the customer journey. A com...

Emirates Yashinda Tuzo ya Kampuni Bora ya Usafiri na Vifaa vya ugavi katika Tuzo za Biashara za Gulf 2023

Image
Kampuni ya Emirates inayojulikana kwa ubora wake katika huduma, dhamira ya kuboresha uzoefu wa wateja, na juhudi zake za mara kwa mara katika uvumbuzi, imeshinda tuzo ya Kampuni Bora ya Usafiri na Vifaa vya ugavi katika Tuzo za Biashara za gulf 2023. Tuzo hii inathibitisha tena azma ya ndege hii ya kutoa uzoefu usio na kifani angani na ardhini, katika madaraja yote ya ndege. Heshima hii ilikabidhiwa kwa Sheikh Majid Al Mualla, Makamu wa Rais Mwandamizi wa Masuala ya Kimataifa wa Emirates, katika sherehe iliyofanyika katika hoteli ya Palazzo Versace. Tuzo za Biashara za Gulf ni tuzo muhimu katika kutambua mafanikio kwa biashara, viongozi, na wajasiriamali katika tasnia mbalimbali kuanzia benki, fedha na uwekezaji, ujenzi na mali isiyohamishika, huduma za afya, usafiri na vifaa vya ugavi, teknolojia, mauzo ya rejareja, na ukarimu katika eneo la Gulf. Vigezo vya kutathmini wawaniaji vinajumuisha ubunifu, ukuaji, matokeo ya kifedha, ubora wa bidhaa, utoaji wa huduma, na jukumu la kijamii l...

KAMPUNI YA FRANONE LIMITED YAKABIDHI MISAADA KWA WAHANGA SIMANJIRO,YATOA KONGOLE KWA RAIS SAMIA.

Image
Na Mwandishi wetu,MwelekeoMediaOnline. UONGOZI wa Kampuni ya Franone  Mining  and Games limetd  inayojishughulisha na uchimbaji madini ya vito ( Tanzanite) imeungana na watanzania wengine na Serikali katika kuchangia mahitaji mbalimbali ikiwemo  chakula Kwa  wahanga wa mafuriko wilayani Simanjiro mkoani Manyara . Akizungumza na waandishi wa Habari Disemba 10,2023  Meneja Mkuu wa kampuni hiyo Vitus Ndakize Amesema  wameguswa sana na tukio hilo hivyo wao kama wawekezaji waliowekeza kwenye uchimbaji wa madini  wameona wachangie watanzania wenzao ambao wamepatwa na majanga hayo Kwa kutoa bidhaa mbalimbali pamoja na chakula. Amesema miongoni mwa vitu ambavyo wamechangia na kukabidhi Kwa mkuu wa Wilaya hiyo  Dkt. Seleman Selela ni pamoja na magunia 200 ya mahindi , maharagwe gunia 40 ,Sukari mifuko 20, na mafuta kantoni 40 za Lita Moja Moja ambapo  imegharimu fedha za kitanzania   sh Milioni 31. Vitus ameongeza kuwa wao kama Kampuni ...