KAMISHINA TRA ,MKURUGENZI BANDARI WATEMBELEA BANDARI YA TANGA



 Na Mwandishi Wetu,MwelekeoMedia
 TANGA
          
KAMISHINA  Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)  Yusuph Mwenda akiambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Prasduce Mbossa Agosti  26,2024 wametembelea bandari ya Tanga.

 Kamishna Mkuu na Mkurugenzi Mkuu wamekubaliana kushirikiana kwa ukaribu zaidi ili kuongeza ufanisi kwenye shughuli za bandari na forodha  zitakazo ongeza mapato ya serikali.



Comments

Popular posts from this blog

MAHAFALI YA COHORT YA 11 YA MWANAMKE KIONGOZI, SPIKA ATOA MATUMAINI MAPYA USAWA WA KIJINSIA

‎Wingu Africa appoints Prasad Acharya as Director of Sales for Tanzania ‎

ACCELERATED ENTRY : HOW EAST AFRICA LEAPFROGGED INTO THE CLOUD AGE