Posts

Showing posts from February, 2025

DEREVA WA LORI ALIYESAFIRISHA WAHAMIAJI HARAMU AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITANO

Image
Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline  IRINGA MAHAKAMA  ya Hakimu mkazi mkoa wa Iringa imemuhukumu kwenda jela miaka  mitano au kulipa faini ya shilingi milioni 20 dereva wa gari aina ya lori  scania namba T 631 CNF Boniface Mwanjokolwa kwa kosa la kusafirisha wahamiaji  haramu 62 raia wa Ethiopia kinyume na sheria. Akisoma hukumu hiyo hakimu mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya mkoa wa Iringa  Honorios Kando alisema kuwa mshtakiwa amekutwa na hatia ya kusafirisha wahamiaji haramu kinyume na sheria no. 46 kifungu kidogo  cha 1 C cha uhamiaji no 54 iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2016. Akirejea kusoma kesi namba 24260 ya mwaka 2024 iliyokuwa inamkabili mfungwa Boniface Mwanjokola hakimu Kando alisema kuwa mfungwa  alitenda kosa hilo august 2I mwaka 2024  katika eneo la sabasaba Mafinga barabara kuu ya Iringa-Mbeya akiwa anasafirisha wahamiaji haramu 62 raia wa Ethiopia wakielekea Kyela mkoani Mbeya kwa kutumia gari aina ya Lori scania aliyokuwa akiliendesh...

RAIS DKT. SAMIA ASISITIZA UMUHIMU WA ELIMU KWA WATOTO WA KIKE,MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA PROGRAMU YA MWANAMKE KIONGOZI

Image
Na Mwandishi wetu,DmNewsOnline DAR ES SALAAM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanawake waliobahatika kupata fursa ya elimu na kuwa viongozi kwenye maeneo mbalimbali kuhakikisha kuwa wanafanya kazi kwa bidii, weledi na uadilifu ili kuongeza imani na amani kwa jamii kuhusu umuhimu wa elimu kwa mtoto wa kike. Rais Dkt. Samia ametoa wito huo leo kwenye maadhimisho ya miaka 10 tangu kuanza kwa Mafunzo ya ongozi kwa Wanawake Tanzania (Female Future Program) sambamba na Mahafali ya Wahitimu wa Awamu ya 10 ya Mafunzo hayo na Mkutano wa 7 wa Uongozi, yaliyofanyika katika ukumbi wa The Super Dome. Aidha, Rais Dkt. Samia amewataka wahitimu hao kuwa chachu ya maendeleo katika jamii na kutumia elimu na stadi za ongozi walizopata kunufaisha jamii kwa ujumla. Vilevile, Rais Dkt. Samia amewarai wanawake kudhihirisha ushupavu wa uongozi kwenye Mashirika na Taasisi mbalimbali na kuwataka kuwa wabunifu kwenye kazi zao na kuwa waaminifu katika kulipa k...

EMIRATES SIGN INTERLINE AGREEMENT EXPANDING TRAVEL TO 13 CITIES IN NIGERIA.

Image
By Reporter,MwelekeoMedia DUBAI The world’s largest international airline, has signed an interline agreement with West Africa’s largest airline, Air Peace, enhancing connectivity for passengers travelling to and from Nigeria.  The partnership expands Emirates’ footprint to 13 new cities in Nigeria with frictionless single-ticket travel and simplified baggage throughput. Travellers booked on flights from Dubai to Lagos can access more of Nigeria, with onward connections to Asaba, Akure, Benin City, Calabar, Enugu, Ilorin, Kaduna and Owerri.  The interline agreement will also benefit corporate travellers, connecting to additional cities in one of Africa’s major economic hubs, including its capital city Abuja, Kano, Uyo, Port Harcourt and Warri, further supporting the strong bilateral trade relationship between Nigeria and the UAE. Adnan Kazim, Emirates’ Deputy President and Chief Commercial Officer said, “Emirates is a steadfast partner of Nigeria’s tourism, trade and aviation ...

EMIRATES DONATES MORE THAN 12,000 EYE SHADES TO TEACHER-TRAINING INITIATIVES IN THE BLIND AND LOW VISION COMMUNITY

Image
By Reporter,MwelekeoMedia As part of ongoing efforts to repurpose waste and connect with communities, Emirates has recently distributed more than 12,000 First Class eye masks to schools for the blind, sensory services, and vision support centres across the United Kingdom.  The donation was inspired by an idea from a creative teacher in Scotland, who connected Emirates to a network of more than 80 service providers across the UK, and explained how eye masks can be used in the training of teaching staff. Last September, Tracy Pearce, an outreach teacher with Sight Scotland based at the Royal Blind School in Edinburgh had an idea to reach out to Emirates with a request for eye shades, knowing that these are used by passengers travelling overnight onboard Emirates’ flights to 140 destinations.  Tracy and her colleagues work with visually impaired children in Scotland, training teachers and support staff on how best to support young people who are blind or visually impaired. ...

EMIRATES TEAMS UP WITH THE NBA TO LEAD YOUTH CLINIC IN PARIS

Image
By Reporter, MwelekeoMedia Emirates, the Official Airline Partner of the NBA, offered youth in Paris recently an unforgettable experience with NBA Legend Joakim Noah.  Showing 15 youngsters from a local organisation, Sport dans la Ville, in Paris the fundamentals of the game, Noah gave up-close and personal lessons around passing, shooting, rebounding and offered positive reinforcement and encouragement throughout the session. Sport dans la Ville is dedicated to the social and professional integration of youth from disadvantaged neighbourhoods through sports. The children also had the opportunity to interact with Jr. NBA coaches, participate in friendly games and take home keepsake photos at the end of the session. As the Official Airline Partner and Title Partner of the Emirates NBA Cup, the airline connects fans with basketball through community programmess and unique experiences.  From supporting youth basketball clinics to creating memorable moments at NBA events, the part...